Biashara Kati ya Tanzania na Urusi
- May 26, 2026
FURSA KATIKA SOKO LA URUSI
Tanzania ina
fursa ya kuongeza mauzo yenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 14 katika
soko la Urusi kwa miaka mitano ijayo (2026-2030).
1. BIDHAA
ZENYE FURSA SOKO LA URUSI
Bidhaa zenye fursa zaidi kahawa,
parachichi, cocoa beans, maua, karafuu na korosho. Hii inatoa fursa ya kuongeza
mauzo ya bidhaa za Tanzania katika soko la Urusi kwa miaka mitano ijayo
(2026-2030).
|
No.
|
Product
|
Fursa hajiafikiwa (thamani USD 000)
|
|
1.
|
Kahawa
|
3,800
|
|
2.
|
Parachichi
|
1,800
|
|
3.
|
Cocoa beans
|
188
|
|
4.
|
Maua
|
182
|
|
5.
|
Karafuu
|
182
|
|
6.
|
Korosho
|
102
|
Chanzo: Imeandaliwa na TanTrade
2.
BIDHAA MBADALA ZENYE FURSA SOKO LA URUSI
I.
Nyama
II.
Maua
III.
Matunda
3.
MAUZO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA SOKO LA URUSI
MWAKA
2021 – 2025 (THAMANI KWA USD MILIONI)
|
Mwaka
|
2021
|
2022
|
2023
|
2024
|
2025
|
|
Mauzo nje
|
7.1
|
5.7
|
6.0
|
8.9
|
29.5
|
|
Uingizaji
|
150.5
|
130.3
|
384.4
|
295.3
|
253.4
|
|
Urari
|
-143.4
|
-124.6
|
-378.4
|
-286.4
|
-223.9
|
Chanzo: imeandaliwa na TanTrade
4.
BIDHAA ZINAZOONGOZA KWA MAUZO NCHINI URUSI (2024-2025)
I.
Tumbaku
II.
Kahawa
III.
Chai
5.
TARATIBU ZA KUSAFIRISHA BIDHAA NCHINI URUSI
Mahitaji ya kupata
taratibu za usafirishaji wa bidhaa zimeainishwa kwenye tovuti ya Mamlaka https://trade.tanzania.go.tz/
6. TARATIBU
ZA KUINGIZA BIDHAA NCHINI URUSI
Kwa
mahitaji ya kupata taratibu za uingizaji bidhaa Urusi zimeainishwa
kwenye tovuti ya https://www.macmap.org/
Kwa
maelezo zaidi tembelea tovuti yetu www.tantrade.go.tz
au tufuatilie kwenye mitandao yetu ya kijamii
facebook, twitter, TanTradeTanzaniaWhatsApp youtube na Instagram au kwa maulizo
wasilisha kupitia barua pepe enquiries@tantrade.go.tz