MKUU WA WILAYA YA ILALA ATEMBELEA BANDA LA TANTRADE KATIKA MAONESHO YA BIASHARA MNAZI MMOJA
- April 25, 2024
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe. Edward Jonas Mpogolo leo hii ametembelea Maonesho ya Biashara ya Muungano yanayo endelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja ikiwa ni siku Moja kabla ya kutamatisha Maonesho haya
Mhe. Mpogolo amepata wasaa wakutembelea Banda la Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na badaae kutembelea mabanda mengine ya taasisi, makampuni na wajasiriamali ambao wanashiriki maonesho haya ya Biashara ya Muungano.
Mhe. Mpogolo amepata wasaa wakutembelea Banda la Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na badaae kutembelea mabanda mengine ya taasisi, makampuni na wajasiriamali ambao wanashiriki maonesho haya ya Biashara ya Muungano.