TANTRADE ,BODI YA NYAMA KUJA NA MAONESHO YA PAMOJA YA BIDHAA YA NYAMA
- November 29, 2023
28 Novemba, 2023
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imekutana na kufanya kikao na Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) na kupanga mikakati ya kuwa na maonesho ya pamoja ya kutangaza bidhaa ya nyama, fursa na elimu ya nyama.
Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Bodi hiyo ambapo TanTrade iliwakilishwa na Maafisa Biashara ambao ni Mohamed Tajiri, Eliabu Lwabyago, Boniface Mrema, Dorothy Makumba Samira Mohamed na Marcelina Shirima.
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imekutana na kufanya kikao na Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) na kupanga mikakati ya kuwa na maonesho ya pamoja ya kutangaza bidhaa ya nyama, fursa na elimu ya nyama.
Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Bodi hiyo ambapo TanTrade iliwakilishwa na Maafisa Biashara ambao ni Mohamed Tajiri, Eliabu Lwabyago, Boniface Mrema, Dorothy Makumba Samira Mohamed na Marcelina Shirima.